Narain Karthikeyan alikuwa gwiji wa mbio za magari nchini India, akishindana katika michezo mbalimbali ya magari na hata akaweka historia aliposhiriki katika Formula 1.
Amir Khan amemshauri Wayne Rooney kupigana na Jamie Vardy kwenye ulingo wa ndondi na amejitolea kumfundisha mshambuliaji huyo wa zamani wa Manchester United.